Rais Ruto Askilize Vijana Kwa Matendo, Sio Vitisho: Sepetuko
Sepetuko

Rais Ruto Askilize Vijana Kwa Matendo, Sio Vitisho: Sepetuko

2024-07-24
Maandamano yanayoendelea dhidi ya serikali yanamaanisha kuwa Rais William Ruto atastahili kuwasikiliza zaidi vijana wanaoandamana. Kusikiliza huku hakuwezekani katika mazingiraya kujipiga kifua na vitisho. Kusikiliza huku ni zaidi kupitia kwa matendo.
Comments (3)

More Episodes

All Episodes>>

You may also like

Get this podcast on your phone, Free

Create Your Podcast In Minutes

  • Full-featured podcast site
  • Unlimited storage and bandwidth
  • Comprehensive podcast stats
  • Distribute to Apple Podcasts, Spotify, and more
  • Make money with your podcast
Get Started
It is Free