Kiongozi Katika Jamii: Kinachoathiri Jamii Yetu
The Uongozi Wa Kiroho Podcast

Kiongozi Katika Jamii: Kinachoathiri Jamii Yetu

2020-06-15

Ni nini inayoweza kubadilisha maisha ya watu na kuleta athari katika jamii? Ni Neno la Mungu. Mgeni wetu, Mchungaji Ngunjiri, anatoa mashauri juu ya nguvu ya Neno kubadili maisha ya watu na tunasihiwa kupanda Neno la Mungu katika huduma zetu na kumwachia Bwana afanye kazi na kuleta matunda kupitia Roho wake na Neno lake.

Comments (3)

More Episodes

All Episodes>>

Get this podcast on your phone, Free

Create Your Podcast In Minutes

  • Full-featured podcast site
  • Unlimited storage and bandwidth
  • Comprehensive podcast stats
  • Distribute to Apple Podcasts, Spotify, and more
  • Make money with your podcast
Get Started
It is Free